Mkoa wa Tabora umepokea zaidi ya shilingi Billion 21 kwaajili ya kuboresha huduma za afya
Na. Catherine Sungura, WAF-Tabora TABORA YAPOKEA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 21 NDANI YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA Awamu ya sita chini ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa Mkoa wa Tabora. Hayo yamesemwa leo na Katibu Tawala wa Mkoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed