Mkoa wa Tabora umepokea zaidi ya shilingi Billion 21 kwaajili ya kuboresha huduma za afya

Na. Catherine Sungura, WAF-Tabora TABORA YAPOKEA ZAIDI YA SHILINGI  BILIONI 21 NDANI YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA Awamu ya sita chini ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa Mkoa wa Tabora. Hayo yamesemwa leo na Katibu Tawala wa Mkoa